3 yale ambayo tuliyasikia na kuyajua,
yale ambayo baba zetu walituambia.
4 Hatutayaficha kwa watoto wao;
tutakiambia kizazi kijacho
matendo yastahiliyo sifa ya Bwana,
uweza wake, na maajabu aliyoyafanya.
3 yale ambayo tuliyasikia na kuyajua,
yale ambayo baba zetu walituambia.
4 Hatutayaficha kwa watoto wao;
tutakiambia kizazi kijacho
matendo yastahiliyo sifa ya Bwana,
uweza wake, na maajabu aliyoyafanya.