7 Bwana anatawala milele,
ameweka kiti chake cha enzi apate kuhukumu.
8 Mungu atahukumu ulimwengu kwa haki,
atatawala mataifa kwa haki.
7 Bwana anatawala milele,
ameweka kiti chake cha enzi apate kuhukumu.
8 Mungu atahukumu ulimwengu kwa haki,
atatawala mataifa kwa haki.