9 Bwana ni kimbilio la watu wanaoonewa,
ni ngome imara wakati wa shida.
10 Wote wanaolijua jina lako watakutumaini wewe,
kwa maana wewe Bwana,
hujawaacha kamwe wakutafutao.
9 Bwana ni kimbilio la watu wanaoonewa,
ni ngome imara wakati wa shida.
10 Wote wanaolijua jina lako watakutumaini wewe,
kwa maana wewe Bwana,
hujawaacha kamwe wakutafutao.