Mungu Mfalme Mkuu
1 Mwimbieni Bwana wimbo mpya;
mwimbieni Bwana dunia yote.
2 Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake;
tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.
3 Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,
matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.