Publicidade

Salmos 1

Furaha ya kweli

1 Heri mtu yule ambaye haendi

katika shauri la watu waovu,

wala hasimami katika njia ya wenye dhambi,

au kuketi katika baraza la wenye mizaha.

2 Bali huifurahia Torati ya Mwenyezi Mungu,

naye huitafakari hiyo Torati usiku na mchana.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-