Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 117

Sifa za Mwenyezi Mungu

1 Msifuni Mwenyezi Mungu, enyi mataifa yote;

mtukuzeni yeye, enyi watu wote.

2 Kwa kuwa upendo wake kwetu ni mkuu,

uaminifu wa Mwenyezi Mungu unadumu milele.

Msifuni Mwenyezi Mungu.117:2 kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também