Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 1

2 Bali huifurahia Torati ya Mwenyezi Mungu,

naye huitafakari hiyo Torati usiku na mchana.

3 Mtu huyo ni kama mti uliopandwa

kando ya vijito vya maji,

ambao huzaa matunda kwa majira yake

na majani yake hayanyauki.

Lolote afanyalo hufanikiwa.

Veja também