Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 10

13 Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu?

Kwa nini anajiambia mwenyewe,

"Hataniita nitoe hesabu"?

14 Lakini wewe, Ee Mungu, unaona shida na huzuni,

umekubali kuyapokea mkononi mwako.

Mhanga anajisalimisha kwako,

wewe ni msaada wa yatima.

Veja também