13 Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu?
Kwa nini anajiambia mwenyewe,
"Hataniita nitoe hesabu"?
14 Lakini wewe, Ee Mungu, unaona shida na huzuni,
umekubali kuyapokea mkononi mwako.
Mhanga anajisalimisha kwako,
wewe ni msaada wa yatima.
13 Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu?
Kwa nini anajiambia mwenyewe,
"Hataniita nitoe hesabu"?
14 Lakini wewe, Ee Mungu, unaona shida na huzuni,
umekubali kuyapokea mkononi mwako.
Mhanga anajisalimisha kwako,
wewe ni msaada wa yatima.