Upendo wa Mwenyezi Mungu
Zaburi ya Daudi.
1 Ee nafsi yangu, umhimidi Mwenyezi Mungu.
Vyote vilivyo ndani yangu
vilihimidi jina lake takatifu.
2 Ee nafsi yangu, umhimidi Mwenyezi Mungu,
wala usisahau wema wake wote:
1 Ee nafsi yangu, umhimidi Mwenyezi Mungu.
Vyote vilivyo ndani yangu
vilihimidi jina lake takatifu.
2 Ee nafsi yangu, umhimidi Mwenyezi Mungu,
wala usisahau wema wake wote: