28 Ndipo walipomlilia Mwenyezi Mungu katika shida yao,
naye akawatoa kwenye taabu yao.
29 Akatuliza dhoruba kwa mnong’ono,
mawimbi ya bahari yakatulia.
30 Walifurahi ilipokuwa shwari,
naye akawaongoza hadi bandari waliyoitamani.
28 Ndipo walipomlilia Mwenyezi Mungu katika shida yao,
naye akawatoa kwenye taabu yao.
29 Akatuliza dhoruba kwa mnong’ono,
mawimbi ya bahari yakatulia.
30 Walifurahi ilipokuwa shwari,
naye akawaongoza hadi bandari waliyoitamani.