25 Ee Mwenyezi Mungu, tuokoe,
Ee Mwenyezi Mungu, utujalie mafanikio.
26 Heri yule ajaye kwa jina la Mwenyezi Mungu.
Kutoka nyumba ya Mwenyezi Mungu tunakubariki.
25 Ee Mwenyezi Mungu, tuokoe,
Ee Mwenyezi Mungu, utujalie mafanikio.
26 Heri yule ajaye kwa jina la Mwenyezi Mungu.
Kutoka nyumba ya Mwenyezi Mungu tunakubariki.