47 kwa kuwa ninazifurahia amri zako
kwa sababu ninazipenda.
48 Ninaziinulia amri zako ambazo ninazipenda mikono yangu,
nami ninatafakari juu ya maagizo yako.
47 kwa kuwa ninazifurahia amri zako
kwa sababu ninazipenda.
48 Ninaziinulia amri zako ambazo ninazipenda mikono yangu,
nami ninatafakari juu ya maagizo yako.