Mwenyezi Mungu mlinzi wetu
1 Nayainua macho yangu natazama milima:
msaada wangu utatoka wapi?
2 Msaada wangu hutoka kwa Mwenyezi Mungu,
Muumba wa mbingu na dunia.
1 Nayainua macho yangu natazama milima:
msaada wangu utatoka wapi?
2 Msaada wangu hutoka kwa Mwenyezi Mungu,
Muumba wa mbingu na dunia.