7 Mwenyezi Mungu atakukinga na madhara yote,
atayalinda maisha yako,
8 Mwenyezi Mungu atakulinda unapoingia na unapotoka,
tangu sasa na hata milele.
7 Mwenyezi Mungu atakukinga na madhara yote,
atayalinda maisha yako,
8 Mwenyezi Mungu atakulinda unapoingia na unapotoka,
tangu sasa na hata milele.