Bila Mwenyezi Mungu, kazi ya mwanadamu haifai
1 Mwenyezi Mungu asipoijenga nyumba,
wajengao hufanya kazi bure.
Mwenyezi Mungu asipoulinda mji,
walinzi wakesha bure.
1 Mwenyezi Mungu asipoijenga nyumba,
wajengao hufanya kazi bure.
Mwenyezi Mungu asipoulinda mji,
walinzi wakesha bure.