Thawabu ya kumtii Mwenyezi Mungu
1 Heri wale wote wamchao Mwenyezi Mungu,
wanaoenda katika njia zake.
2 Utakula matunda ya kazi yako;
baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
1 Heri wale wote wamchao Mwenyezi Mungu,
wanaoenda katika njia zake.
2 Utakula matunda ya kazi yako;
baraka na mafanikio vitakuwa vyako.