Kumngojea Mwenyezi Mungu
Wimbo wa kwenda juu.
1 Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Mwenyezi Mungu.
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu.
Masikio yako na yawe masikivu
kwa kilio changu unihurumie.
1 Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Mwenyezi Mungu.
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu.
Masikio yako na yawe masikivu
kwa kilio changu unihurumie.