Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 145

11 Watasimulia utukufu wa ufalme wako

na kusema kuhusu ukuu wako,

12 ili watu wote wajue matendo yako makuu

na utukufu wa fahari ya ufalme wako.

13 Ufalme wako ni ufalme wa milele,

mamlaka yako hudumu vizazi vyote.

Mwenyezi Mungu ni mwaminifu kwa ahadi zake zote

na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.

Veja também