Kumsifu Mwenyezi Mungu mwokozi
1 Msifuni Mwenyezi Mungu!.
Ee nafsi yangu, umsifu Mwenyezi Mungu,
2 Nitamsifu Mwenyezi Mungu maisha yangu yote;
nitamwimbia Mungu wangu sifa
wakati wote ningali hai.
1 Msifuni Mwenyezi Mungu!.
Ee nafsi yangu, umsifu Mwenyezi Mungu,
2 Nitamsifu Mwenyezi Mungu maisha yangu yote;
nitamwimbia Mungu wangu sifa
wakati wote ningali hai.