Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 146

7 Naye huwapatia haki waliodhulumiwa,

na kuwapa wenye njaa chakula.

Mwenyezi Mungu huwaweka wafungwa huru,

8 Mwenyezi Mungu huwafumbua vipofu macho,

Mwenyezi Mungu huwainua waliolemewa na mizigo yao,

Mwenyezi Mungu huwapenda wenye haki.

9 Mwenyezi Mungu huwalinda wageni

na kuwategemeza yatima na wajane,

lakini hupinga njia za waovu.

Veja também