7 Naye huwapatia haki waliodhulumiwa,
na kuwapa wenye njaa chakula.
Mwenyezi Mungu huwaweka wafungwa huru,
8 Mwenyezi Mungu huwafumbua vipofu macho,
Mwenyezi Mungu huwainua waliolemewa na mizigo yao,
Mwenyezi Mungu huwapenda wenye haki.
9 Mwenyezi Mungu huwalinda wageni
na kuwategemeza yatima na wajane,
lakini hupinga njia za waovu.