2 Mwenyezi Mungu ni mwamba wangu,
ngome yangu na mwokozi wangu;
Mungu wangu ni mwamba wangu,
ninayemkimbilia.
Yeye ni ngao yangu na pembe18:2 pembe inamaanisha nguvu ya wokovu wangu,
ngome yangu.
2 Mwenyezi Mungu ni mwamba wangu,
ngome yangu na mwokozi wangu;
Mungu wangu ni mwamba wangu,
ninayemkimbilia.
Yeye ni ngao yangu na pembe18:2 pembe inamaanisha nguvu ya wokovu wangu,
ngome yangu.