Publicidade

Salmos 20

6 Sasa nafahamu kuwa Mwenyezi Mungu

humwokoa mpakwa mafuta wake,

humjibu kutoka mbingu yake takatifu

kwa nguvu za wokovu wa mkono wake wa kuume.

7 Wengine wanatumaini magari ya vita, na wengine farasi,

bali sisi tutalitumainia jina la Mwenyezi Mungu, Mungu wetu.

8 Wao wameshushwa chini na kuanguka,

bali sisi tunainuka na kusimama imara.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-