Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 21

7 Kwa kuwa mfalme anamtumaini Mwenyezi Mungu;

kwa upendo usiokoma wa Aliye Juu Sana hatatikiswa.

8 Mkono wako utawashika adui zako wote,

mkono wako wa kuume utawakamata adui zako.

9 Wakati utajitokeza,

utawafanya kama tanuru la moto.

Katika ghadhabu yake Mwenyezi Mungu atawameza,

moto wake utawateketeza.

Veja também