16 Mbwa wamenizunguka,
kundi la watu waovu limenizingira;
wamenidunga mikono na miguu.
17 Naweza kuhesabu mifupa yangu yote,
watu wananikodolea macho na kunisimanga.
18 Wanagawana nguo zangu,
na vazi langu wanalipigia kura.
16 Mbwa wamenizunguka,
kundi la watu waovu limenizingira;
wamenidunga mikono na miguu.
17 Naweza kuhesabu mifupa yangu yote,
watu wananikodolea macho na kunisimanga.
18 Wanagawana nguo zangu,
na vazi langu wanalipigia kura.