22 Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu,
katika kusanyiko nitakusifu wewe.
23 Ninyi ambao mnamcha Mwenyezi Mungu, msifuni!
Ninyi nyote wazao wa Yakobo, mheshimuni yeye!
Mcheni yeye, ninyi wazao wa Israeli!
22 Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu,
katika kusanyiko nitakusifu wewe.
23 Ninyi ambao mnamcha Mwenyezi Mungu, msifuni!
Ninyi nyote wazao wa Yakobo, mheshimuni yeye!
Mcheni yeye, ninyi wazao wa Israeli!