Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 24

Mfalme mkuu

1 Dunia ni mali ya Mwenyezi Mungu, na vyote vilivyomo,

ulimwengu, na wote wanaoishi ndani yake,

2 maana aliiwekea misingi yake baharini,

na kuifanya imara juu ya maji.

Veja também