Mfalme mkuu
1 Dunia ni mali ya Mwenyezi Mungu, na vyote vilivyomo,
ulimwengu, na wote wanaoishi ndani yake,
2 maana aliiwekea misingi yake baharini,
na kuifanya imara juu ya maji.
1 Dunia ni mali ya Mwenyezi Mungu, na vyote vilivyomo,
ulimwengu, na wote wanaoishi ndani yake,
2 maana aliiwekea misingi yake baharini,
na kuifanya imara juu ya maji.