Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 24

3 Nani awezaye kuupanda mlima wa Mwenyezi Mungu?

Ni nani awezaye kusimama patakatifu pake?

4 Ni yule mwenye mikono safi na moyo mweupe,

yule ambaye hakuinulia sanamu nafsi yake

au kuapa kwa kitu cha uongo.

5 Huyo atapokea baraka kutoka kwa Mwenyezi Mungu,

na hukumu ya haki kutoka kwa Mungu Mwokozi wake.

Veja também