20 Uyalinde maisha yangu na uniokoe,
usiniache niaibike,
kwa maana nimekukimbilia wewe.
21 Uadilifu na uaminifu vinilinde,
kwa sababu tumaini langu ni kwako, Mwenyezi Mungu.
20 Uyalinde maisha yangu na uniokoe,
usiniache niaibike,
kwa maana nimekukimbilia wewe.
21 Uadilifu na uaminifu vinilinde,
kwa sababu tumaini langu ni kwako, Mwenyezi Mungu.