13 Nami bado nina tumaini hili:
nitauona wema wa Mwenyezi Mungu
katika nchi ya walio hai.
14 Mngojee Mwenyezi Mungu;
uwe hodari na mwenye moyo mkuu,
na umngojee Mwenyezi Mungu.
13 Nami bado nina tumaini hili:
nitauona wema wa Mwenyezi Mungu
katika nchi ya walio hai.
14 Mngojee Mwenyezi Mungu;
uwe hodari na mwenye moyo mkuu,
na umngojee Mwenyezi Mungu.