Kuomba msaada
Zaburi ya Daudi.
1 Ninakuita wewe, Ee Mwenyezi Mungu, Mwamba wangu;
usikatae kunisikiliza.
Kwa sababu ukinyamaza
nitafanana na walioshuka shimoni.
1 Ninakuita wewe, Ee Mwenyezi Mungu, Mwamba wangu;
usikatae kunisikiliza.
Kwa sababu ukinyamaza
nitafanana na walioshuka shimoni.