7 Mwenyezi Mungu ni nguvu zangu na ngao yangu,
moyo wangu umemtumaini yeye,
nami nimesaidiwa.
Moyo wangu unarukaruka kwa furaha
nami nitamshukuru kwa wimbo.
8 Mwenyezi Mungu ni nguvu ya watu wake,
ngome ya wokovu kwa mpakwa mafuta wake.
7 Mwenyezi Mungu ni nguvu zangu na ngao yangu,
moyo wangu umemtumaini yeye,
nami nimesaidiwa.
Moyo wangu unarukaruka kwa furaha
nami nitamshukuru kwa wimbo.
8 Mwenyezi Mungu ni nguvu ya watu wake,
ngome ya wokovu kwa mpakwa mafuta wake.