Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 30

Maombi ya shukrani

1 Nitakutukuza wewe, Ee Mwenyezi Mungu,

kwa kuwa umeniinua kutoka vilindi,

na hukuacha adui zangu

washangilie juu yangu.

2 Ee Mwenyezi Mungu, Mungu wangu, nilikuita unisaidie

na wewe umeniponya.

3 Ee Mwenyezi Mungu, umenitoa Kuzimu30:3 Kuzimu kwa Kiebrania ni Sheol, yaani Shimo lisilo na mwisho.,

umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti.

Veja também