11 Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza,
ulinivua gunia ukanivika shangwe,
12 ili moyo wangu uweze kukusifu na usikae kimya.
Ee Mwenyezi Mungu, Mungu wangu, nitakushukuru milele.
11 Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza,
ulinivua gunia ukanivika shangwe,
12 ili moyo wangu uweze kukusifu na usikae kimya.
Ee Mwenyezi Mungu, Mungu wangu, nitakushukuru milele.