5 Kisha nikakiri dhambi yangu kwako,
wala sikuficha uovu wangu.
Nilisema, "Nitaungama
makosa yangu kwa Mwenyezi Mungu."
Ndipo uliponisamehe
hatia ya dhambi yangu.
5 Kisha nikakiri dhambi yangu kwako,
wala sikuficha uovu wangu.
Nilisema, "Nitaungama
makosa yangu kwa Mwenyezi Mungu."
Ndipo uliponisamehe
hatia ya dhambi yangu.