Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 33

17 Farasi ni tumaini la bure kwa wokovu,

licha ya nguvu zake nyingi, hawezi kuokoa.

18 Lakini macho ya Mwenyezi Mungu yako kwa wale wamchao,

kwa wale tumaini lao liko katika upendo wake usio na kikomo,

19 ili awaokoe na mauti,

na kuwahifadhi wakati wa njaa.

Veja também