20 Sisi tunamngojea Mwenyezi Mungu kwa matumaini,
yeye ni msaada wetu na ngao yetu.
21 Mioyo yetu humshangilia,
kwa maana tunalitumainia jina lake takatifu.
22 Upendo wako usio na mwisho ukae juu yetu, Ee Mwenyezi Mungu,
tunapoliweka tumaini letu kwako.