Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 34

Sifa na wema wa Mwenyezi Mungu

1 Nitamtukuza Mwenyezi Mungu nyakati zote,

sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu siku zote.

2 Nafsi yangu itajisifu katika Mwenyezi Mungu,

walioonewa watasikia na wafurahi.

3 Mtukuzeni Mwenyezi Mungu pamoja nami,

naam, na tulitukuze jina lake pamoja.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também