17 Wenye haki hulia, naye Mwenyezi Mungu huwasikia,
huwaokoa katika taabu zao zote.
18 Mwenyezi Mungu yu karibu na waliovunjika moyo,
na huwaokoa waliopondeka roho.
17 Wenye haki hulia, naye Mwenyezi Mungu huwasikia,
huwaokoa katika taabu zao zote.
18 Mwenyezi Mungu yu karibu na waliovunjika moyo,
na huwaokoa waliopondeka roho.