8 Onjeni mwone kwamba Mwenyezi Mungu ni mwema;
heri mtu yule anayemkimbilia.
9 Mcheni Mwenyezi Mungu enyi watakatifu wake,
kwa maana wale wamchao
hawapungukiwi na chochote.
8 Onjeni mwone kwamba Mwenyezi Mungu ni mwema;
heri mtu yule anayemkimbilia.
9 Mcheni Mwenyezi Mungu enyi watakatifu wake,
kwa maana wale wamchao
hawapungukiwi na chochote.