Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 34

8 Onjeni mwone kwamba Mwenyezi Mungu ni mwema;

heri mtu yule anayemkimbilia.

9 Mcheni Mwenyezi Mungu enyi watakatifu wake,

kwa maana wale wamchao

hawapungukiwi na chochote.

10 Wana simba wenye nguvu

hutindikiwa na kuona njaa,

bali wale wanaomtafuta Mwenyezi Mungu

hawatakosa kitu chochote kilicho chema.

11 Njooni, watoto wangu, mnisikilize,

nitawafundisha kumcha Mwenyezi Mungu.

Veja também