16 Bora kidogo walicho nacho wenye haki
kuliko wingi wa mali ya waovu wengi;
17 kwa maana nguvu za waovu zitavunjwa,
lakini Mwenyezi Mungu humtegemeza mwenye haki.
16 Bora kidogo walicho nacho wenye haki
kuliko wingi wa mali ya waovu wengi;
17 kwa maana nguvu za waovu zitavunjwa,
lakini Mwenyezi Mungu humtegemeza mwenye haki.