Publicidade

Salmos 37

23 Kama Mwenyezi Mungu akipendezwa na njia ya mtu,

yeye huimarisha hatua zake,

24 ajapojikwaa, hataanguka,

kwa maana Mwenyezi Mungu

humtegemeza kwa mkono wake.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-04_23-13-58-