Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 37

3 Mtumaini Mwenyezi Mungu na utende yaliyo mema.

Kaa katika nchi ukafurahie malisho salama.

4 Jifurahishe katika Mwenyezi Mungu

naye atakupa haja za moyo wako.

5 Mkabidhi Mwenyezi Mungu njia yako,

mtumaini yeye, naye atatenda hili:

6 Yeye atafanya haki yako ing’ae kama mapambazuko,

na hukumu ya shauri lako kama jua la adhuhuri.

Veja também