39 Wokovu wa wenye haki hutoka kwa Mwenyezi Mungu,
yeye ni ngome yao wakati wa shida.
40 Mwenyezi Mungu huwasaidia na kuwaokoa,
huwaokoa kutoka kwa waovu na kuwahifadhi,
kwa maana wanamkimbilia.
39 Wokovu wa wenye haki hutoka kwa Mwenyezi Mungu,
yeye ni ngome yao wakati wa shida.
40 Mwenyezi Mungu huwasaidia na kuwaokoa,
huwaokoa kutoka kwa waovu na kuwahifadhi,
kwa maana wanamkimbilia.