Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 40

Wimbo wa sifa

1 Nilimngoja Mwenyezi Mungu kwa saburi,

naye akanijia na kusikia kilio changu.

2 Akanipandisha kutoka shimo la uharibifu,

kutoka matope na utelezi;

akaiweka miguu yangu juu ya mwamba

na kunipa mahali imara pa kusimama.

Veja também