Wimbo wa sifa
1 Nilimngoja Mwenyezi Mungu kwa saburi,
naye akanijia na kusikia kilio changu.
2 Akanipandisha kutoka shimo la uharibifu,
kutoka matope na utelezi;
akaiweka miguu yangu juu ya mwamba
na kunipa mahali imara pa kusimama.
1 Nilimngoja Mwenyezi Mungu kwa saburi,
naye akanijia na kusikia kilio changu.
2 Akanipandisha kutoka shimo la uharibifu,
kutoka matope na utelezi;
akaiweka miguu yangu juu ya mwamba
na kunipa mahali imara pa kusimama.