Publicidade

Salmos 41

Maombi ya mtu mgonjwa

1 Heri mtu yule anayemjali mnyonge,

Mwenyezi Mungu atamwokoa wakati wa shida.

2 Mwenyezi Mungu atamlinda na kuyahifadhi maisha yake,

atambariki katika nchi

na hatamwacha katika tamaa ya adui zake.

3 Mwenyezi Mungu atamtegemeza akiwa mgonjwa kitandani,

na atamwinua kutoka kitandani mwake.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-