1 Kama ayala anavyoonea shauku vijito vya maji,
ndivyo nafsi yangu inavyokuonea shauku, Ee Mungu.
2 Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai.
Ni lini nitaweza kwenda kukutana na Mungu?
1 Kama ayala anavyoonea shauku vijito vya maji,
ndivyo nafsi yangu inavyokuonea shauku, Ee Mungu.
2 Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai.
Ni lini nitaweza kwenda kukutana na Mungu?