Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 51

2 Unioshe na uovu wangu wote

na unitakase dhambi yangu.

3 Kwa maana najua makosa yangu,

na dhambi yangu iko mbele yangu daima.

4 Dhidi yako, wewe peke yako, nimetenda dhambi

na kufanya yaliyo mabaya machoni pako,

ili uthibitike kuwa wa kweli unaponena,

na kuwa na haki unapotoa hukumu.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também