16 Lakini mimi nitaziimba nguvu zako,
asubuhi nitaimba kuhusu upendo wako;
kwa maana wewe ndiwe ngome yangu
na kimbilio langu wakati wa shida.
17 Ee uliye Nguvu zangu, ninakuimbia sifa.
Wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,
Mungu unayenipenda.
16 Lakini mimi nitaziimba nguvu zako,
asubuhi nitaimba kuhusu upendo wako;
kwa maana wewe ndiwe ngome yangu
na kimbilio langu wakati wa shida.
17 Ee uliye Nguvu zangu, ninakuimbia sifa.
Wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,
Mungu unayenipenda.