4 Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake,
mtukuzeni yeye anayepita juu ya mawingu:
jina lake ni Mwenyezi Mungu,
furahini mbele zake.
5 Baba wa yatima, mtetezi wa wajane,
ni Mungu katika makao yake matakatifu.
4 Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake,
mtukuzeni yeye anayepita juu ya mawingu:
jina lake ni Mwenyezi Mungu,
furahini mbele zake.
5 Baba wa yatima, mtetezi wa wajane,
ni Mungu katika makao yake matakatifu.